Wa kwanza kushoto ni Keitta wa Ghana aliefanikiwa kubaki kwenye jumba la BBA na kupandishwa Upville katika eviction jumapili june 3 2012, waliotoka ni wasichana watatu, Mildred wa Ghana girlfriend wa Keitta aliekataa kuja kwenye stage wakati wa show kutokana na hasira alizokua nazo.
Kama ulimis kutazama show, chek hiyo video hapo chini…









No comments:
Post a Comment