Saturday, June 9, 2012

PICHA 42 ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO MPYA YA AY & MARCO CHALI AFRIKA KUSINI.


Ay amemaliza kufanya video yake mpya huko Afrika Kusini, video ya single aliyomashirikisha producer Marco Chali ambapo itatoka kwenye wiki ya pili ya June.
.
Marco Chali akifanyiwa Make up kwa ajili ya hiyo video ambayo ni wanaume wawili tu wameonekana ndani yake, Ay na Marco Chali na imefanyika Johannesburg Afrika kusini.
.
Ay, Mnigeria GodFather mmiliki wa hiyo kampuni pamoja na Marco Chali.
Ay amesema kampuni ya GODFATHER ndio inayoitengeneza hiyo video, mpaka sasa imefanya video nyingi na wakali wengine Afrika kama Chop my money ya P SQUARE, J Martins, Mr Flavour na wengine wengi.
.
.
.
Timu yote ya watu 30 iliyohusika kuitengeneza hiyo video ni ya wazungu tupu, kila mmoja alikua na kazi yake.
.
.
.
.
.
Kwenye utengenezaji wa hiyo video walikuja models zaidi ya 30 lakini wengi walichujwa palepale kwenye location.
Director akifanya kazi kwenye video ya AY ambayo imegharimu milioni 30 za kitanzania.
.
.
.
.
.
.
.
Sehemu ya models ambao wataonekana ndani ya hiyo video mpya iitwayo Party Zone.
.
.
.
.
Mrembo na Marco Chali.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...