Saturday, June 30, 2012

Bi Kidude achengua Dar...



Bi Kidude akiimba
Shabiki akimtunza Bi Kidude

Baadhi ya mashabiki wakiserebuka na milindimo ya Pwani

Jumanne Ulaya akicharaza gitaa

Mariam Hamis wa bendi ya TOT akiimba wimbo wa Paka Mapepe.

Mashabiki wakipozi juu ya jukwaa ili kupiga picha na Bi Kidude.

Mambo ya pwani hayo.

Saida Ramadhani wa Mshauzi akiimba huku shabiki akimkatikia.

Shabiki mwenye mzuka wa taarabu akiserebuka huku ameshikilia jukwaa.

Bi Kidude akionyesha umahili wake wa kucheza.

Mtangazaji wa Kituo cha TV Cha Sibuka Lulu akipozi kupiga picha.

Jana usiku katika ukumbi wa Equator uliopo Mtoni kwa Azizi Ally kulifanyika onyesho la taarab, wanamuziki mbalimbali wa taarabu waliudhuria akiwemo mwanamuziki mwalikwa toka Zanzibar Bi Kidude.
Baadhi ya bendi ambazo ziliudhuria onyesho hilo ni Five Star, TOT, East Africa Melod na Mashauzi Clasc

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...