Tuesday, June 19, 2012

MOTO WAWASHWA COCO BEACH WA TAMASHA LA WAJANJA WA VODACOM TANZANIA


  Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiwa amebebwa juujuu na wacheza shoo wake hapo jana wakati  wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika katika  uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Diamond akiimba kwa hisia kali wakati  wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania, litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
 Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiingia stejini kwa mbwembwe kali wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Ommy Dimpoz akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika katika  uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Chid Benz akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika katika  uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nay Wamitego toka kundi la mkong'oto jazz band akionyesha umahiri wake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nay Wamitego toka kundi la mkong'oto jazz band akionyesha umahiri wake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
 Mwanamziki wa kizazi kipya Sheta na mwenzake wakipagawisha wakati wa uzinduzi wa  Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii anaechipukia kwa kasi Dogo Lila Modigo ambae ni mwanafunzi wa darasa la pili,akionyesha kipaji chake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Ommy Dimpoz  kushoto akibadilishana mawazo na Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano Kevini Twissa wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
 Nyomi ya watu walifika katika uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Mtangazaji wa CloudsFM radio ya watu Hamis Mandi-B12 (kushoto)akibadilishana mawazo na Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude, wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
  Bosi nyuma ya steji wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania.
Bro kama buti yako ni kali ila na yangu ni noma zaidi...alisikika Dogo Lila akiongea na Mtangazaji wa Clouds Fm B12 wakati wa uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika  katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...