Wednesday, June 13, 2012

UMESHAWAONA P SQUARE NA RICK ROSS KWENYE VIDEO MOJA? KAMA BADO ICHEK HAPA.


Imekua ngumu kwa waafrika wengi kuamini kama P SQUARE wa Nigeria wangeweza kufanya kolabo na Rick Ross rapper ambae bado yuko juu sana kwenye hiphop sasa hivi, sijachukua muda sana kuwaza au kujiuliza maswali mengi baada ya kukumbuka kwamba Akon anafanya nao kazi na kuna uwezekano mkubwa akawa ndio kawaunganisha.
Ninavyofahamu ni kwamba kuna process ndefu kidogo za kufata kama unahitaji kolabo na watu wakubwa kama Ross manake hata Marekani yenyewe kuna wasanii wanataka nae kolabo na hawampati, nakumbuka wakati Mimms amekuja bongo hata T pain hawakuruhusu kabisa kupigwa picha za video hasa wakiwa na wasanii wa bongo, ila walikubali kupigwa pictures za kawaida tu.
Anyway Chek hiyo kolabo ya P Square na Rick Ross hapo chini alafu utoe comment ya ulichopata au kukiona..
in

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...