Sunday, October 23, 2011

BAIKOKO YAPAGAWISHA MASHABIKI, SINZA, DAR...

Kinadada wakikatika, mmoja akiwa amekalia chupa.

Mashabiki wakifanya kufuru kukonga nyoyo zao.

KUNDI la ngoma ya Baikoko lenye asili yake mkoani Tanga, usiku wa kuamkia leo limewachizisha mashabiki ndani ya Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo baadhi ya mashabiki walibanjuka na kuwa kivutio kwa watazamaji.

Mwanadada akiwa amelala kwa hisia baada kunogewa na mirindimo ya Baikoko.

 Mfanyabiashara wa Soko la Makumbusho jijini Dar, Pius Ruta (Mzee wa Pamba), akicheza Baikoko na ‘kifaa’ chake.

Wapiga ngoma na manyanga wakiwachizisha mashabiki.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...