Friday, September 30, 2011

Comedy ZONE

Mmasai alienda kwa mara ya kwanza kuchoma sindano hospitalini...

Alipoanza kuchomwa ghafla akamuuliza nesi, "Uuuuuuwi, we mama yoyo, bado jaona tundu huko nyuma mpaka natoboa ingine?!"

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...