Sunday, September 25, 2011

Comedy ZONE

Tajiri ambaye alikuwa anajulikana sana maeneo flani, alikuwa anamuozesha bint yake,
Wa2 wengi waliikamia haruc hiyo, tajiri nae kwa kujiproud aligawa card kwa kila m2
Siku ya sherehe ilipowadia wa2 walihudhuria
Muda wa msosi ulipofika wakapitishiwa mafuta ya kula ndio maji ya kunawa,
wa2 wakaulizana, maji ya kunawa mafuta ya kula je huo msoc itakuwaj???????
Mara zikapitishwa sahani, wa2 wakaanza kuangaliana usoni?????????
Kufunua mafenec, wa2 wote hoii!!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...