Friday, September 30, 2011

Comedy ZONE

MIELEKA NOMA.....! Mtoto aliamka usiku baada ya kuckia mechi kati ya baba na mama kupamba moto-Mtoto akamkuta baba yupo juu, miguu ya mama ameipeleka mbele usawa wa kichwa, yeye akajua ile ni mieleka Live bila refa akaamka.....kuchungulia mabega ya mama yote yamegusa godoro akaanza kupiga godoro huku akihesabu.....PA! Moja,PA! Mbili. PA! Tatu! Akamshika mkono baba na kumwambia umeshinda....!!!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...