Thursday, September 29, 2011

CABO SNOOP JUKWAA MOJA NA KINA SHAGY



Mwanamuziki anayetamba na wimbo wake wa Prakatumba, Cabo Snoop kutoka Angola, yuko nchini Nairobi kwa shoo maalum ya Tusker itakayowakutanisha na kina Shaggy na Eve. Pichani juu na chini Cabo akiwasili na kuongea na wanahabari Uwanja wa Kimataifa wa Jomo kenyata Kenya jana. Shoo inafanyika Jumamosi hii.


Warembo wa Tusker wakiwa tayari kuwapokea wageni wao Uwanja wa Ndege jana Nairobi. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...