Thursday, September 29, 2011

Comedy ZONE


Muislamu na baniyani (muhindu) walikamatwa na kufungwa jela miaka kibao. Walijibidiisha kusali na kuomba kila leo angalau siku moja wawe huru. Muislamu alimuomba ALLAH, ilhali muhindi SANAMU wake aliyekuwa naye pale jela. Dua ya muislamu ikatakabaliwa akaachiliwa. Muislamu alipokuwa anatoka jela, muhindi akamfuata na ikawa hivi:
Muhindi: Bana hii mambo namna gani, kila siku sisi omba pamoja, wewe toka mimi bado toka...............Mimi hapana elewa
Muislamu: Bhai wewe na Mungu wako nyote mpo jela nani atamtoa mwenziwe?

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...