Thursday, September 29, 2011

Comedy ZONE

Dogo wa miaka mi5 aliambiwa aanzishe sala baada ya kula mbele za wageni na familia nzima... Sala ilikuwa hivi.... "Nakushuru kwa hawa wageni waliokuja na kumaliza chakula changu, naomba Mungu ucwalete tena, naomba umbariki yule kijana anayecheza mieleka kitandan na dada kila cku mchana kukiwa hamna watu na kumlisha sausage iliyoko ndani ya suruali yake ili cku dada ashibe... Pia naomba uwasaidie wadada walio uchi ndan ya cmu ya baba wapate nguo, mwisho wabariki wale wanaume wanaokuja kulala na mama wakati baba amesafiri nao wapate nyumba zao na vitanda... Ameeen!!!"

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...