Sunday, September 25, 2011

Comedy ZONE

Kulikuwa na mzee mmoja mkali kishenzi ila alikuwa hajui kiingereza kabisaa... Mwanae anayesoma international schol alikuwa na demu wake ambaye one day demu akaenda kumcheki mshkaji kwao...

Kufika akamkuta jamaa kakaa sebuleni na mdingi wake... Yule kijana baada tu ya demu kusalimia akamwambia yule demu wake...

''Aahaaa, ndo umekuja kufata kile kitabu cha 'Speak english my father doesn't know?!''

Demu akamjibu, "Ndiyo na naomba uniazime kile kitabu cha story cha 'what about our promise?'

Kijana akajibu, "Kile cna kipo cha 'Wait for me under the coconut tree outside".

Daah, dingi kusikia hivyo akanyanyuka na kumpa dogo mwekundu na kumpongeza kwa kupenda kusoma vitabu then akaelekea zake chumbani....

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...