Monday, April 9, 2012

MAMA MZAZI WA MAREHEMU KANUMBA ALIVYOWASILI JIJINI DAR JANA



Mama mzazi wa marehemu Steven Charles Kanumba, Bi. Flora Mtegoa (katikati) akisaidiwa na waombolezaji kuingia ndani alipowasili nyumbani kwa mwanae Vatican, Sinza jijini Dar akitokea Bukoba mkoani Kagera.

Mama mzazi wa msanii mahiri wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba aliyefariki usiku wa kuamkia Jumamosi nyumbani kwake Vatican, Sinza jijini Dar es Salaam, Bi Flora Mtegoa, jana mchana aliwasili jijini Dar akitokea Bukoba alipokwenda kumjulia hali mama yake mzazi anayeishi Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...