Friday, April 27, 2012

DIAMOND KUKAGUA HELIKOPTA ATAKAYOSHUKA NAYO DAR LIVE


Diamond akiwa na wasanii wa kundi la Pah One wakielekea uwanjani.

Diamond akiwa juu ya helkopta.

Diamond akiwa na wasanii wa kundi la Pah One juu ya helkopta.

Picha ya pamoja kuonesha swaga za kiburudani.

Kapteni wa helkopta hiyo, Nasser akisalimiana na Diamond. 
Raisi wa wasafi Bongo, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ leo alikuwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere kukagua helkopta atakayoshuka nayo Jumapili hii ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...