Tuesday, August 30, 2011

KUKU ATOA UHAI WA MTU




MAREHEMU NASIB EXZAVERY maalufu kama Mkemia akiwa amechomwa moto eneo la viwanja vya Shule ya Msingi Mwenge Jijini Mbeya kwa kosa la wizi wa kuku ambaye Mwenye Kuku huyo hajafahamika.
Nasib Xavery, maarufu kama Mkemia jana aliuawa na wananchi wenye hasira kwa kuchomwa moto katika eneo la Shule ya Msingi Mwenge, jijini Mbeya, kutokana na kile kilichodaiwa kuiba kuku.

Jeshi la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kuuchukua Mwili wa marehemu na kuupeleka katika hospitali ya Rufaa mkoani Mbeya.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...