Sunday, October 30, 2011

Comedy ZONE

Masela walikuwa wanavuta bangi Sehemu,kibiriti kikawaishia, wakam2ma msela akaombe Sehemu, msela akatembea mpk anarudi tena kwenye chumba kilekile, na akasahau kama ndo alipo toka, akawaomba kibiriti,
washikaji wakamwambia,"mwana we njoo ukae kuna msela 2mem2ma ametoka Sa hv atarudi" 
bila kujua ndo msela wao,
Bangi Noma....

1 comment:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...