Monday, October 17, 2011

Comedy ZONE

Ndani ya ndege kuna abiria tatu. Mrusi,Mjamaica, na M-bongo. Wamefika anga za juu pilot akawauliza wahisie wapo wapi!
Mrus akatoa mkono dirishani dah bonge la baridi akasema hii Moscow bila shaka.
Mjamaica akatoa pua nje(anayo ndefu) akaskia harufu ya marijhuana akasema hii Kingstone bila shaka.
M-bongo akatoa mkono dirishani fasta akaurudisha ndani wenzio wanamwuliza wapi? Akajibu hii ki2 Manzese hii. Wakahoji Kwa nini? Akajibu Wameshaniibia SAA mkononi ndan ya sekunde. Teh teh teh

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...