Tuesday, October 18, 2011

Comedy ZONE

Mazoea ni mabaya sana.. cku 1 masai m1 aluienda chooni na kopo kwa nia ya kujisaidia haja kubwa kwa bahati mbaya aliweka maji kwenye kopo lililotoboka bila kujua, akiwa choon maji yote yakamwagika alimaindi sana ila akapotezea akasepa hivohivo..cku ya pili akachukua kopo tena bt this tym lilikua zima ila hakujua sasa ili kulikomoa akaona koja atawaze kwanza then ndo akajisaidia nakusepa huku akisema "leo nimekuwesa"

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...