Tuesday, October 25, 2011

WALIBYA WAPANGA FOLENI KUSHUHUDIA MWILI WA KANALI GADDAFI...



Mwanahabari wa Daily Mail, Andrew Malone, akishuhudia mwili wa Kanali Muammar Gaddafi.
Wakazi wa Libya wakishuhudia mwili wa Kanali Gaddafi na kuupiga picha.MAMIA ya wakazi wa Libya jana walikusanyika kushuhudia mwili wa Muammar Gaddafi mjini Misrata. Mwili wa Gaddafi ulikuwa umehifadhiwa katika chumba kimoja kilichopo eneo la biashara mjini Misrata, ambapo ulipelekwa siku ya Alhamisi alipouawa.

Wananchi hao wakiwa katika foleni kwenda kuuona mwili wa Kanali Gaddafi jana mjini Misrata.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...