Monday, October 17, 2011

Full Mapicha ya BSS 2nd CHANCE...

Jumanne Iddy akitoa vitu vyake...

Peter Msechu palikuwa hapatoshi...

 Msanii wa Hip Hop toka Uganda... NAVIO...

 Gwiji toka Rwanda ALPHA

 Mshindi wa BSS 2010 Mariam Mohamed akitoa vitu vyake...

Kubwa lao, Joseph Payne...

 Mashabiki wakijiachia...

 Top 4 ya BSS 2011...

 Warembo jukwaani wakionyesha briefcase zenye fedha...

 Mr. Flavour in the House...

 Full gambe...

 Katika dada... Kwa raha zako...

Tunda man mjengoni....

Castal lite kwa wingi mezani....

Masister duu kwa wingi tuuu... Masharobaro pembeni...

 Mizuka inapopanda....

 Warembo katika mzuka...

 Full kujiachia na Mr. Flavour...

 Wera wera... Lulu akikata kiuno...

Sssssshhh..... Mambo bado....

 Jumanne Iddi Kazini....

 MC Godwin Gondwe akiwajibika...

 Mshiriki Waziri Salumu akitoa burudani...

 Mshiriki Rodjer Lucas akitoa cheche zake....

 Bella akiimba kwa hisia...

 Mshiriki Haji Ramadhani akikata mauno...

Sharobaro in da house....

"Hapa hakiachwi kitu hapa...." 

 Mr. Flavour all da way from Nigeria....

 Mshindi wa tatu Waziri Salum akipokea million 5 zake...

 Mshindi wa pili  Rodger Lucas akipokea million 10 zake...

 "Huuuuuuuuuureeeeeeeh..."

Mshindi akikumbatiwa na mnenguaji wa TWANGA PEPETA...

Chukua hiyoo.......

 Na mshindi wa kwanza wa BSS 2nd chance ni....
Haji Ramadhani akijinyakulia million 40....

Kwenye one n two si mwingine bali ni mtu mzima Dj. Choka......

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...