Friday, October 28, 2011

Comedy ZONE

Kuna Jambazi mmoja alienda kuvamia nyumba fulani hivi. Alipofika ndani alimkuta mke na mme wapo kitandani na hawana silaha yoyote ile, jambazi kuona vile alimshika mke na kumuwekea kisu shingoni, akasema "kawaida yangu kabla sijauwa mtu lazima nimfaham jina lake" MKE: Elizabeth....!!!!! .JAMBAZI: nimekusamehe maana una jina kama la Mama yangu.. Akamgeukia Mme.. kumwekea kisu tu: 
MME: William, lakini NYUMBANI, KAZINI NA MTAANI najulikana kama Elizabeth..

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...