Saturday, October 22, 2011

NANI CHANGU??! MASTAA WA KIKE BONGO...



Mastaa wa kike Bongo wanaojiita wasichana wa mjini wamebandikwa lebo ya micharuko huku wakitumia vibaya mwavuli wa sanaa kufanyia uchangudoa au umalaya.


Ili kujua nani mwenye sifa ya uchangudoa na nani msafi, ZE UTAMU limefanya uchunguzi wa kina na hapa linaibuka na ripoti kamili ya staa mmoja mmoja bila kutoa hukumu hivyo kazi ni kwako.

AUNT EZEKIEL
Ilibainika kuwa ni staa mwenye nyota tano, lakini aliwahi kunaswa usiku mbaya kwenye ukanda wa machangudoa a.k.a Wauza Sukari. Alishapitia mikononi mwa wanaume kadhaa wakiwemo Jack Pemba, Hartmann Mbilinyi na Mwilu Mwilola ‘Silver’ huku kukiwa na madai kuwa kwa sasa anapeana ‘kampani’ na mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Dev.

JACQUELINE WOLPER
Ilielezwa kuwa ni miongoni mwa mastaa wanaojiheshimu, lakini dosari kidogo ni ile ya kudaiwa kutoka na mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond’ kabla ya hivi karibuni kuonekana ‘klozi’ na jamaa anayetajwa kwa jina moja la John.

BLANDINA CHAGULA ‘JOHARI’
Kwa heshima aliyo nayo, hata waigizaji  wenzake humuita dada Johari. Dosari pekee iliyotajwa na watu walihojiwa na katika uchunguzi huo ni uhusiano tata alionao na mkurugenzi mwenzake wa RJ Productions, Vincent Kigosi ‘Ray’.

BABY MADAHA
Kinachomponza ni kauli na vituko vyake vya kimcharuko huku akitangaza kuwa yuko tayari kutoa penzi kwa mwanaume atayefika dau la Sh. milioni 5. Hilo lilitafsiriwa kuwa ni kujiuza ukiachilia mbali wanaume aliowahi kutajwa ‘kupeana nao kampani’, Dokta Pakir, Mwisho Mwampamba na sasa anadai yupo penzini na mtoto wa kigogo.

ELIZABETH MICHAEL ‘LULU’
Huku akijiita mcharuko namba moja Bongo, alielezewa kuwa pamoja na umri mdogo wa miaka 18, kitendo cha kutangaza kutoka kimapenzi na wanaume wawili, ndicho kinachomponza na hasa lile tukio la kuchanwa viwembe kisa mume wa mtu.

ZUWENA MOHAMED ‘SHILOLE’
Aliwahi kukiri kugawa uroda kwa wanaume wawili tu, jambo lililopingwa na watu wanadai kumfahamu zaidi. Pia kitendo cha kujilegeza kwa wasanii wa Bongo Flava, Ally Timbulo na Elias Barnabas, nacho kilitajwa kumjengea taswira tofauti mbele ya jamii.

RUTH SUKA ‘MAINDA’
Ukiacha historia yake ya huko nyuma, alielezewa kuwa ni msichana anayejiheshimu kwa kuwa hakuwahi kutajwa na msururu mrefu zaidi ya Ray na Hamis Dakota. Pia kitendo cha kuvishwa pete ya uchumba hivi karibuni ni mwanzo wa kujiongezea heshima.

MIRIAM JOLWA ‘JINI KABULA’
Uchunguzi uliweka wazi kuwa amekuwa akitamba kutoka na wanaume zaidi ya nane na kuendelea wakiwemo mastaa kama Mr Chuz (aliyezaa naye mtoto mmoja) na Mr Nice. Hana ‘imeji’ nzuri mbele ya jamii.

REHEMA FABIAN 
Kitendo cha kuwalegezea wasanii Naseeb Abdul ‘Diamond’ na Raheem Nanji ‘Bob Junior’ huku kwa sasa akimpamba mpenzi wake Jacob, ndicho kinachosababisha aonekane ndivyo sivyo.

WEMA SEPETU
Anaelezewa kuwa ni msichana asiyetulia na mwanaume kuanzia kwa Steven Kanumba, Jumbe Yusuf, Chalz Baba, Diamond na sasa akiwa anaelea, vimemfanya kuchorwa tofauti katika jamii.

JACQUELINE PATRICK
Pamoja na kuwa na ‘body’ lenye mvuto, anaheshimika kwa kitendo cha kumudu vishawishi vya wanaume, aliwahi kukiri kutoka na wawili tu, mmoja ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa Koani, Mafia, Haroub Masoud, Ifraj Haroub na huyu aliye naye kwa sasa ambaye watafunga ndoa ‘soon’.

JACQUELINE PENTZEL ‘JACK CHUZ’
Ni miongoni mwa mastaa wanaodaiwa kuwa micharuko hasa kwa kauli zake zisizochujwa kama kukiri kutoka na wanaume sita ndani ya mwezi mmoja. Aliwahi kutajwa na wanaume kadhaa akiwemo Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’. Ukweli imeji yake si nzuri kwa jamii hivyo alishauriwa kubadilika.

SALMA JABU ‘NISHA’
Ni msichana mwenye heshima, lakini alitiwa doa na ile skendo ya kukiri kubobea katika vitendo vya kisagaji.

ROSE NDAUKA
Anaelezwa kuwa miongoni mwa mastaa wenye heshima, lakini kitendo cha kuvishwa pete na mume wa mtu na ile skendo ya usagaji, anatakiwa avitazame upya.

JOKATE MWEGELO
Ana ‘sivii’ kubwa na heshima tele kwa jamii. Anaelezewa kuwa ni mwanamke anayefaa kuolewa. 

Doa pekee lililojitokeza ni ile skendo ya kupeana kampani na Hasheem Thabeet.

AGNESS GERALD ‘MASOGANGE’
Kwa umbo lake tata, anapewa ‘big up’ kwa kuwa hajawahi kutajwa kutoka kimapenzi na mwanaume yeyote.

LISA JENSEN
Alielezewa kuwa ukiachilia mbali kudaiwa kuwa ‘klozi’ na Steven Kanumba, ameendelea kujijengea heshima kubwa mbele ya jamii lakini akaomba kufunga pingu za maisha.

LULU SEMAGONGO ‘AUNTY LULU’
Jamii inamuona mcharuko namba moja kutokana na matukio yake pamoja na mikao ya kihasara inadaiwa ni ya kuwatega wanaume. Mchumba’ke ambaye amekuwa akitangaza kuwa watafunga ndoa ‘soon’ amepewa taadhari ya kumrekebisha. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...