Monday, October 17, 2011

MY GOD! MISS AFUMWA AKISAGANA



MY God! Miss Ruvuma ‘hamnazo’ 2005 ambaye alishiriki kinyang’anyiro cha Miss Tanzania mwaka huo na kuangukia pua, Isabella Mpanda ‘Bella’ amefumwa ‘laivu’ akifanya vitendo vya kisagaji na rafiki yake aliyetajwa kwa jina moja la Jack..

Bella asiyekuwa na tone la aibu alinaswa na kamera yetu akijihusisha na uchafu huo wa kufedhehesha ndani ya Ukumbi wa Mzalendo Pub Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ ilikuwa ikifanya makamuzi.

NI SINEMA YA BWERERE
Katika tukio hilo, wakati Wazee wa Kizigo wakikamua stejini, shuhuda wetu aliwapiga chabo warembo hao wakiwa wamejibanza kwenye mwanga hafifu nyuma ya ukumbi huku wakishikana sehemu nyeti kwa staili ya ‘baba na mama’.

Kwa mujibu wa mkanda wa picha unaoshikiliwa, Bella mwenye kupenda kuandikwa magazetini kwa matukio machafu, alionekana kucheza nafasi ya mwanamke huku Jack akichukua uhusika wa mwanaume katika sinema hiyo ya bwerere.

Katika tukio hilo lisilovumilika, nunge hizo mbili zilionekana zikishikana sehemu nyeti na baadaye ‘zilidendeka’ bila kujali watu waliokuwa wakiwatemea mate chini kwa kushindwa kuwavumilia.

BELLA ALEGEA KAMA MLENDA
“Ama kweli dunia imefika ukingoni, heri hata enzi za Firauni tunazozisoma kwenye vitabu. Huyu Bella amezidi, hafai kanisani wala msikitini. Angalia alivyolegea kwa mwanamke mwenzake utadhani mlenda wa bamia,” alisikika dada mmoja shabiki mkubwa wa Extra Bongo.

Baada ya ‘kuwafotoa’ picha za kutosha kwa ajili ya ushahidi wa uchafu wao, paparazi wetu aliwafuata ili kupata mzani wa tukio hilo ambapo mbali na kupigwa na butwaa kwa aibu wakijua kuwa ishu ‘imesanuka’, wawili hao waliokuwa wamekumbatiana waliachiana, wakawa wanategeana kuzungumza.

‘Polisi’ wetu alipoendelea kuwabana, Bella alifyatuka: “Hebu futika mbele yetu, nani amekutuma kutufuatilia kwenye ‘praiveti’ yetu? Ondoka kabla hatujakuitia mwizi.”

NENO LA RISASI MCHANGANYIKO
Hakuna haki za binadamu kwa watu wasiokuwa binadamu. Bella anapaswa kuwa kioo cha jamii kwani hivi karibuni alitamba kuzaa na mume wa mtu hivyo atamfundisha nini mwanaye ilihali yeye mwenyewe hana maadili? Anapaswa kujirekebisha haraka kwani kama hakufunzwa na mamaye, atafunzwa na ulimwengu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...