Sunday, October 23, 2011

Comedy ZONE

Jamaa moja maisha yali kuwa magumu sana hata ela yakula alikuwa hana akaamua kwenda kujinyonga ile kafunga kamba islael ana mtokea aka muambia "oya nafasi zimejaa huko mbinguni subiri kukiwa nanafasi takuambia" ghafla akapotea .jamaa aka chukua kamba yake akawa ana rudi nyumban kufika nyumban akaendele kulala njaa baada ya mwez akaokota mahela meng sana akawa aana panga jinsi ya kuzitumia (nijenge nyumba ninunue gari nisomeshe watoto) ghafla islaeli katokea " oya nimekuijia sasa hivi watu hamna huko mbingun "jamaa akafa na mahela aka yaacha duh!!!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...