Friday, October 28, 2011

WALIOKUFA KIBAHA WAZIKWA MAJIVU!!!


Mkuu wa chumba cha kuhifadhi maiti, Bw. Andrew Kaswalala,  akitoa miili ya marehemu katika friji muda mfupi kabla ya mazishi.
Mwili wa marehemu aliyeungua na kuharibika vibaya ukiwa chumba cha maiti.
Majivu ya marehemu kadhaa yakiwa ndani ya mfuko kabla ya mazishi!
WATU waliokufa katika basi la Deluxe lililopinduka na kuungua moto maeneo ya Kongowe, Mkoa wa Pwani, wakati likitoka Dar es Salaam kwenda Dodoma, walizikwa jana katika makaburi ya Air Msae.
Mtandao wetu ulikuwepo kukuletea yote yaliyojiri hapo.

Kaswalala akiyaweka majivu hayo katika mifuko ya ‘Rambo’.
Mifuko ya majivu ya marehemu.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza akilia wakati maiti zikiwasili eneo la makaburi.
Majeneza yakiwa yamepangwa kutolewa heshima na maombi na wananchi.
Mmoja wa wazazi waliopoteza watoto katika ajali hiyo akilia kwa uchungu wakati wa maombezi.
Hivi ndivyo marehemu walivyozikwa.
Picha ya mmoja wa marehemu walioungua vibaya katika ajali hiyo ambaye alikuwa akisoma chuo kikuu.
Mazishi yakiendelea.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...