Wednesday, October 10, 2012

VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE: JE JAMII INAJIFUNZA NINI?



Kutokana  na  kutokuwa  na mhimili  wa kusimamia  maadili  hapa  nchini,wasanii wetu  wameendelea kuwa  VIOO WA NGONO hapa nchini  huku wengi  wao  wakiwa  ni  wadau wa bongo movie......

Uchunguzi  uliofanywa na mtandao huu umebaini kuwa wengi wao hufanya uchafu  huo kwa kukusudia ili  wakuze majina  yao.......

Mbali na kusudi  hilo, wapo ambao huwahonga  waandishi  wa  habari  za magazeti  ili  wawapige picha  wakiwa  UCHI, ama  wawaoneshe  MAKALIO yao, au MATITI  yao.......

Tuchukulie mfano wa hii video ya utupu ya Agness Masogange,.....Ukiiangalia  utagundua kuwa  uchafu huo ulifanyika  chumbani,tena wakiwa wawili  tu......

Cha ajabu, siku  moja tu  baada ya kujirekodi  wakifanya mapenzi, video  hiyo  waliisambaza  katika  mitandao mbalimbali.........

Je, lengo lilikuwa  nini?....Serikali  haioni?.....Jamii  inasemaje?




No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...