Sunday, October 21, 2012

HILI NDO KUNDI LA FACEBOOK WANALOTUMIA WANACHUO WA KENYA KUJIUZA...."CAMPUS DIVAS FOR RICH MEN"


Jane 18 has just finished high school and will be joining UoN she wants a rich dude who is willing to pay her half % school fees
“Sisi madiva tuna gharama, NYWELE, zinataka dawa! MASIKIO yanataka,hereni!! MACHO yanataka wanja na shadow! PUA inatka kipini! MDOMO, unatka lipstic! USO unataka poda na foundation! SHINGO inataka cheni! MATITI yanataka sidiria! MIKONO inataka Bangali! VIDOLE vinataka, Pete! KIUNO kinataka shanga. MA***KO yanataka chupi MIGUU inataka hina rangi na viatu. KAMA HUNA MKWANJA POLEEEEEEE,” ni baadhi ya status zinazosomeka kwenye ukurasa uitwao 'Campus Divas For Rich Men’.

Ni ukurasa maarufu sana kwenye Facebook sasa hivi nchini Kenya, ukiwa na likes 13,859.
Ukurasa huu huonesha picha za wasichana ‘wanaodaiwa kuwa ni wanachuo’ wakijiuza na kutafuta wanaume wenye fedha ili wawatimizie haja zao.
Hata hivyo kwa uchunguzi uliofanywa na gazeti la Daily Post, umegundua mtu aliyeufungua ukurasa huo ambao kiukweli picha na majina anayoyaweka sio vya kweli.
Huyu ndiye aliyeanzisha ukurasa huo
Mtu huyo ni mvulana ambaye inasemekana kuwa alikuwa akimpenda msichana aitwaye Samira Osman lakini alipokataliwa, aliamua kufungua ukurasa huo kwa hasira.

Mkononi amejichora jina la Samira, msichana aliyemkataa
Hivi ndivyo anavyoweka picha za wasichana zikiwa na maelezo kuwa wanataka wanaume matajiri huku maelezo akiyaandika mwenyewe.

Candy 20 Kenyatta university wants a rich man who can cater for her needs

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...