Wednesday, October 3, 2012

BIRTHDAY YA DIAMOND ILIVYO KUWA JANA...


Kiukweli ntakua mchoyo wa fadhira endapo sintowashurukuru watu wote waliohudhuria katikaghafla fupi ya kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa jana 02/10/2012 katika hotel ya DEMAGE kinondoni...de Night was Crazy n Amazin , kiukweli nimefurahi sana kiasi kwamba hata sijui niwalipe kitu gani...
Hii ni cake maalum ambayo aliniletea Wema kama moja ya zawadi ya Birthday yangu
Hapa nikiwa na Dada yangu wa hiyari Halima kimwana
Wema na dada yangu Esma wakilishana Cake




All de way from UK Naj pia alikuwepo
Dimpoz kwa Poz, Mboni Masimba na Mecky




Hapa tukiwa na Roho ya Wolper Legraa Dallas

Bhaaaaaaasssssssss....!
Rucky Beby tena...

Joff mnyama pia ndani
Hapa babtale na Naj wakiteta jambo

Team sheta pia Ndani....


Weeeeeeeeeeeeee.........!
Dallas tena......




Hapa wema na Mboni masimba
Kama ulikua haujui hawa ndio vijana wanaoongoza kwa Kuvimba mjini........LOL!








All de way from America Wasafi walikua ndani pia......














DOZEN & SHETTA
Watoto wa ManzeseTIPTOP pia ndani
Watuacheeeeee na Mama yangu mboni ali masimba.......

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...