Monday, October 22, 2012

"HIZI NI PICHA ZA AIBU AMBAZO ZIMENIKERA SANA"......MDAU


Huu ni ujumbe wa msomaji wetu akieleza jinsi anavyokerwa  na  mmomonyoko  wa maadili hasa kwa dada zetu.....

Ungana naye, na tupe maoni yako...





Habari yako zehotpot?!?!

Mimi  ni  mdau  wa blog yako.Hongera sana  kwa jitihada za kuwaumbua  dada  zetu  wanaopiga picha  za utupu na kuzisambaza au kuziuza......

Kwa kufanya hivyo, jamii  imeweza kuwatambua watu hao kwa sura  na majina  yao.Hali  hii  imewafanya watu wazidi kujihami  na  hao mabinti......

Tumeshuhudia  hivi karibuni  wasanii wetu  wakiomba  samahani kwa watanzania  kutokana  na  Picha zao chafu.Isingekuwa kuwaumbua naamini wasingejitambua....

Inasikitisha kuona dada zetu hawataki kubadilika.Huyu ni msichana  ambaye  kapiga picha za aibu sana. Simfahamu vizuri ila nasikia anaitwa Beige.Naamini siku moja wataacha.

 NI  MIMI  MDAU NA MSOMAJI WENU WENU
------------------------------------------------------------------

Je, una kero au habari yoyote???

Tupatie kwa njia ya facebook: 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...