Saturday, August 4, 2012

HILI NDIO JUMBA WALILOLIKODI JAY Z NA BEYONCE KWA MAMIA YA MAMILIONI KWA MWEZI.

Fahamu kwamba wamefanya hivi sio kwa sababu wana uhaba wa nyumba, yani pamoja na kumiliki majumba kadhaa ya kifahari lakini wameamua kulikodi hili jumba pia ambapo wanalilipia dola za kimarekani laki nne kila mwezi ambazo kibongobongo ni zaidi ya Milioni 600.
Moja kati ya vitu vilivyowavutia kukodi hili jumba huko Bridgehampton New York Marekani ni pamoja na ukaribu wake na bahari, ni nyumba ambayo wameikodi kwa mwezi mmoja tu wa August according to New York Daily News, lakini nyumba yenyewe pia inauzwa kwa USD 43 million.
Ukiishi kwenye hii nyumba unapata 60-foot pool, a two-lane bowling alley; tennis , squash, racquetball and basketball courts and a children’s performing area.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...