Wednesday, December 28, 2011

Comedy ZONE


  • Jamaa mmoja mlev ucku aldumbukia kwny shmo reeefu na kuvunjka mikona na miguu yote.bac asubuh wa2 walpoamka wakamkuta hvo wakaamua kumsaidia.wakamrushia kamba aing'ate kwa meno cz alkua kavunjka mikono.wakawa wanamvuta ile imebak kdg tu.. Kuna m2 akampa pole...jamaa c akajbu "asantee" puuuuuh! Chn akaanguka tn.akaambiwa ang'ate tn kamba na sasa acseme k2.ilee kavutwa tn imebak umbak kdg tu kuna m2 akamwambia "jtahd hvohvo ucongee k2"jamaa c akajbu "sawaaa" puuuuuuh! Chn,wadau wakazla kumsaidia..

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...