Wednesday, December 28, 2011

BOXING DAY NA MARAHA YA COCO BEACH DAR


Watu wakifurahia mandhari ya bahari.
 Mabembea ya chini yalikuwa kivutio kwa watoto.

KATIKA kuhitimisha sikukuu ya Krismas (Boxing Day) jana, watu wengi wakiwemo wale waliokuwa na familia zao, walizuru mwambao wa Bahari ya Hindi maeneo ya Coco Beach ambako walijiachia vilivyo katika ufukwe huo wa upepo mwanana jijini Dar es Salaam ambako walipata fursa ya kuogelea, kunywa na kula kwa furaha kubwa.
Mtandao huu wa ulitembelea eneo hilo na linakuletea matukio kadhaa yaliyokuwa eneo hilo mashuhuri jijini.
 
Mabembea makubwa yaliwajumuisha hata watu wazima.

Mcheza sinema, Miriam Jolwa (Jini Kabula) alikuwepo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...