Friday, November 11, 2011

Comedy ZONE

Chizi mmoja alikuwa amechukua flite... Baada ya kutembea ndani ya ndege akaona business class ndo yaukweli wakati huo yee anaticket ya kawaida... Baada ya ndege kupaa jamaa akakomaa akahama siti kwenda business. Airhostess wamem2liza na kumwamvia ahame yee kagoma... Bac kumbe pilot ni mzoefu na machizi akasema acheni nitamhandle... Akaenda na akamnong'oneza jamaa akainuka na kusepa kwenye siti yake. Wa2 walishangaa sana waka muuliza pilot umefanyaje akasema nimemwambia business class haiendi Mwanza inakwenda Arusha

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...